Tuesday, August 16, 2011

UFUNUO 17; MNYAMA MWEKUNDU SANA

UFUNUO 17
KAHABA WA RUMI
“Biblia ina kanuni ambazo watu wanahitaji kuzielewa ili kuwa tayari kwa ajili ya maisha haya au maisha yajayo. Na nanuni hizi zinaweza kueleweka na wote. Hakuna mwenye roho ya kuthamini mafundisho yake (Biblia) anayeweza kusoma sura moja katika Biblia bila kupata kutoka kwake mawazo yenye msaada. Lakini fundisho lenye thamani sana la Biblia halitapatikana kwa majifunzo yakubahatisha au yasiyoungamanishwa. Mfumo wake mkuu wa ukweli haukutolewa ili kueleweka na msomaji mwenye haraka au asiye makini. Hazina zake (Biblia) nyingi zimelala chini mbali ya mwonekano wa juu, na zinaweza kupatikana tu kwa utafiti wenye bidii na juhudi endelevu. Kweli zinazofanya kitu kikubwa kizima ni lazima zitafutwe na kukusanywa, ‘ huku kidogo na huku kidogo’ Isaya 28:10.
“Zitakapotafutwa (kweli=hazina) na kuwekwa pamoja, zitaonekana kuwa zinawiana vizuri kikamilifu. Kila injili ni nyongeza kwa nyingine (injili), kila unabii ni ufafanuzi wa mwingine (unabii), kila ukweli ni mwendelezo wa ukweli fulani. Vivuli vya uchumi wa kiyahudi vimewekwa wazi na injili. Kila kanuni katika neno la Mungu lina sehemu yake, kila uhalisia(ukweli) tabia yake. Na mfumo mzima, katika mpango na utekelezaji, hutoa ushuhuda kwa Mtunzi (Mungu) wake. Mfumo wa aina hiyo hakuna akili ila ya Asiyekuwa na mwisho inaweza kuufikiria au kuupa mtindo.” Education, 123-124.
HUKUMU YA KAHABA MKUU
1Akaja mmoja wa wale malaika saba, mwenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi; 2ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake. Ufunuo 17:1-2.
“Mwanamke [Babeli] wa ufunuo 17 anaelezewa akiwa amevikwa kwa rangi za zambarau na nyekundu, akiwa amepambwa kwa dhahabu na mwawe ya thamani na lulu, akiwa na kikombe cha dhahabu katika mko wake kimejaa machukizo na uchafu:.. na katika paji lake kuna juna limeandikwa, ‘la siri, Babeli mkuu,mama wa makahaba’ asema nabii: nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi (Martyrs) wa Yesu. Babeli ikatangazwa zaidi kuwa ‘mji ule mkubwa (great=mkuu), wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi” Ufunuo 17:4-6, 18. Mamlaka ambayo kwa karne nyingi imekuwa ikitawala kimabavu juu ya watawala (wafalme) wa dola la kikristo ni Rumi. Rangi za zambarau na nyekundu, dhahabu na vito vya thamani na lulu, kwa uwazi vinapiga picha ukuu na zaidi ya kiburi cha kifalme likiathiriwa na jicho la kiburi la Rumi. Na hakuna utawala ambao waweza kutajwa kwa ukweli kabisa kwamba ‘ umelewa na damu ya watakatifu’ kama kanisa ambalo ulitesa kinyama wafuasi wa Kristo. Babeli pia imeshitakiwa kwa dhambi ya kuwa na uhusiano wa kidhalimu (unlawful) na ‘wafalme wa nchi.’ Ni baada ya kukata uhusiano na Bwana, na ushirikiano na wapagani, taifa la wayahudi lilikuwa kahaba; na Rumi, akijitia uharibifu katika namna hiyo hiyo kwa kutafuta msaada na ushirikiano ya mamlaka/falme za kidunia anapokea hukumu hiyohiyo kama waliyopokea taifa la israeli. The Great Controversy, 382.
“madhehebu ya makanisa yaliyoanguka ni Babeli. Babeli imekuwa ikilea mafundisho yenye sumu, mvinyo wa kosa. Mvinyo huu wa kosa umetengenezwa kwa mafundisho ya uongo, kama vile kutokufa kwa asili kwa roho, mateso ya milele ya maovu, kukana kuwepo kwa Kristo kabla ya kuzaliwa kwake huko Betelehemu, na kutetea na kutukuza siku ya kwanza ya juma juu ya siku takatifu na iliyotakaswa ya Mungu. Haya na makosa-ndugu yamefunsishwa kwa ulimwengu na makanisa mbalimbali, na hivyo maandiko yametimizwa yasemayo, ‘ kwa kuwa mataifa yote yamelewa kwa mvinyo ya ghadhabu ya ukahaba wake.’ Ni hasira ambayo imetengenezwa kwa mafundisho ya uongo, na pale wafalme na maraisi watakapo kunywa mvinyo hii ya ghadhabu ya ukahaba wake, wanapandwa na hasira kinyume cha hao ambao hawatakubali mapatano na uzushi wa kiongo na kishetani unaoitukuza sabato ya uongo, na kuwaoongoza watu kuukanyaga ukumbusho/azimisho wa/la Mungu”. Testimonies to Ministers, 61-62.
“ Dhambi kubwa ambayo Babeli imeshitakiwa kwayo ni kwamba ‘amewafanya mataifa yote kunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake’ kikombe hiki cha sumu anachowakilisha ulimwenguni huwakilisha mafundisho ya uongo ambayo ameyakubali kama matokeo ya muungano wake wa kidhalimu na mkuu wa dunia. Urafiki na dunia huharibu imani yake (Babeli), na yeye kwa mjibizo hutoa ushawishi uharibuo juu ya ulimwengu kwa kufundisha mafundisho ambayo hupinga sentensi wazi za Maandiko Matakatifu.” The Great Controversy, 388.
“ Roho Mtakatifu ametengeneza mambo, yote katika utoaji wa unabii na katika matukio yaliyoonyeshwa, kwamba kufundisha kuwa muwakilishi wa kibinadamu asionyeshwe, afichwe ndani ya Kristo, na kwamba Bwana Mungu wa mbinguni na sheria yake viinuliwe.” Testimonies to Ministers, 112.
Akanichukua katika roho hata jangwani: Ufunuo 17:3
Jangwa(ni)=Nyika(ni)
Akanichukua katika roho hata jangwani: Ufunuo 17:3
Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko muda wa siku elfu na mia mbili na sitini (1260). Ufunuo 12:6
Mwanamke yule akapewa mabawa mawili ya tai yule mkubwa, ili aruke, aende zake nyikani hata mahali pake, hapo alishwapo kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati, mbali na nyoka huyo. Ufunuo 12:14.
Kalewa kwa Damu
3Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi. 4Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo za rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. 5Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI. 6Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu. Ufunuo 17:3-6.
“ Miaka iishirini na tano (25 years) baadaye ilitokea ishara iliyotajwa katika unabii--- kutiwa giza kwa jua na mwezi. Kilichofanya hili kuwa ajabu zaidi ilikuwa ni ukweli kwamba wakati wa utimilizo wake ulitajwa kwa ukamilifu. Katika mazungumzo ya Mwokozi na wanafunzi wake katika mlima wa Mizeituni, baada ya kuelezea kipindi kirefu cha majaribu kwa kanisa,--- miaka 1260 ya mateso ya kipapa, ambayo aliahidi kwamba mateso yatafupishwa,-- hivyo (Yesu)ali alitaja matukio bayana ambayo yangetangulia kuja kwake, na kuweka/toa muda (ambao katika huo) ishara za kwanza zingeshuhudiwa: ‘lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake.’ Marko 13:24. Siku au miaka 1260, iliisha mwaka 1798. Robo karne kabla mateso yalikuwa kwa sehemu kubwa yamekishwa kabisa. Kufuatia mateso haya, kulingana na maneno ya Kristo, Jua lingetiwa giza. Tarehe 19/5/1780, unabii huu ulitimizwa.” The Great Controversy, 306.
“ Mateso ya kanisa hayakuendelea katika kipindi chote kizima cha miaka 1260. Mungu kwa rejema zake kwa watu wake alifupisha muda wa jaribi/teso lao la moto. Katika kutabiri ‘mateso makuu’ lililokuwa liliangukie kanisa, Mwokozi alisema: ‘ Na kama siku hizi zisingalifupizwa, asingeokoka mtu yeyote; lakini kwa ajili ya wateule zitafupizwa siku hizo.’ Mathayo 24:22. Kupitia ushawishi wa Matengenezo (Reformation) mateso yaliletwa kwenye mwisho wake mwaka 1798.” The Great Controvesy, 266-267.
Siri (Mystery) ya Mwanamke, na Mnyama
Na yule malaika akaniambia, kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na mnyama huyu amchukuaye, mwenye vichwa saba na zile pembe kumi. Ufunuo 17:7
Siri
Siri ile iliyofichwa tangu zamani zote na tangu vizazi vyoye, bali sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake; ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu: Wakolosai 1:26-27
Maana ile siri ya kuasi hivi sasa inatenda kazi; lakini yuko azuaye sasa, hata atakapoondolewa. 2 Wathesalonoke 2:7.
Mnyama ambebaye Kahaba
Na yule malaika akaniambia, kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na mnyama huyu amchukuaye, mwenye vichwa saba na zile pembe kumi. Ufunuo 17:7



Ufunuo 12, 13 & 17 Yalinganishwaje?

Katika sura ya Ufunuo 13 ni mnyama mwenye vichwa saba na pembe kumi akitoka majini. Anaelezwa kwamba ana mwili wa chui, miguu wa dubu, na mdomo wa simba---alama za wanyamwa wa Daniel 7 kwa kinyume. Danieli alikuwa akiangalia mlolongo wa wanyama akiangalia mbele ya wakati—wakati ujao, lakini Yohana aliangalia mlolongo huo kingume akianagalia nyuma ya wakati.


Kwa kuwa Joka, mnyama kama chui, na mnyama mwekundu sana, wote wan vichwa saba, na pembe kumi, ni dhahiri kwamba wanahusiana kwa ukaribu sana katika maana, ama sivyo ni wamoja=au kitu kilekile. Lakini kunautofauti katika namna wanavyoelezewa kuhusu vichwa vyao na pembe zao. Na hiyo hutoa taarifa zaidi (siyo makosa). Na hizi tofauti zinawakilisha mamlaka ileile inayopinga Kristo, inoyoongozwa na Shetani, lakini katika wakati mbali mbali katika historia ya ulimwengu.

Joka lina taji=vilemba juu ya vichwa; ni ishara ya jumla, ikitumika katika mstari wote wa historia ya mwanadamu, haswa ikiwakilisha kitisho na ukatili wa Rumi ya kipagani. (Ufunuo 12)

Mnyama kama chui ana taji=vilemba juu ya pembe na inawakilisha kipindi kirefu cha miaka 1260, ambapo mataifa mengi ya ulaya magharibi yalikuwa chini ya Upapa. (Ufunuo 13)

Manyama mwekundu sana hana taji juu ya vichwa wala pembe. Ikionyesha kwamba maono haya yanahusu wakati wa mbele. Ikidhihirisha ukweli kwamba wafalme hawa hawajapoke ufalme bado au uwezo wa kutesa watakatifu, haswa ikituleta katika wakati wetu huu amabpo bado hawajaanza kutesa (Ufunuo 17)

Ukweli kwamba mwanamke aliyelewa juu ya mnyama hudhihirisha kipindi katika historia karibu kabisa na mwisho wa dunia; huonyeshwa kwa namna kadhaa hivi;
• Ni malaika wa mwisho (wa saba) wa wale wanaopiga mapigo saba ndiye anye mfahamisha Yohana habari hii, na tunajua mapigo saba ya mwisho ni ya kipindi cha mwisho punde kabla ya kuja kwa Yesu.
• Ukweli kwamba mwanamke na mnyama wametofautishwa kama vitu viwili tofauti (kitu ambacho katika sura za 12 na 13 hakikufanyika) humaanisha kuwa ni kipindi ambacho ulimwengu umejua kutofautisha kati ya Kanisa na Mamlaka ya taifa kama vitu viwili tofauti. Hii tofauti kimtazamo na kiuhalisia imekuja kipindi cha karne hizi za mwisho
• Ukweli kwamba Yohana anapelekwa Jangwani/nyikani na huko anamuona mnyama na mwanamke huyu wakiwa nyikani (sio wanapanda kutoka majini) huwakilisha kipindi ambapo wote mnyama na kanisa wanapitia uzoefu wa jangwani, kipindi cha jeraha la mauti la mnyama wa Ufunuo 13:3, na huakisi kipindi ambacho mwanamke safi wa ufunuo 12 anakimbilia jamgwani alishwe huko.
• Amelewa kwa damu, ikodhihirisha kuwa ni kipindi cha mwisho cha mateso ya watakatifu ya miaka 1260, alikuwa ameshamaliza kunywa damu=kuua watakatifu.
• Alikuwa mwekundu sana, ikiakisi damu aliyoimwaga nyingi sana ya wafia dini


Mnyama mwekundu sana ndiye anayembeba kahaba ikiwakilisha mfumo wa shetani wa kutawala katika kipindi hiki kirefu, lakini muda wa kuonekana wa mnyama mbele ya Yohana ni wakati wa mwisho, tangu takribani 1798 katika miisho ya mika 1260. Na siyo katika wakati wa watawala wa rumi ya kipagani.
Ellen G. Wgite kwa hakika anahusianisha huu umoja wa pembe hizi kumi za Ufunuo 17 na massa ya mwisho ya wakati, wakati Joka, Mnyama na Nabii wa Uongo wote watajiung a dhidi ya Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana katika machafuko ya mwisho ya historia ya ulimwengu. (soma Manuscrip 24, 1891)


Wanyama/wafalme--- Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani. Daniel 7:17.
Wafalme/Vichwa--- 37Wewe, Ee mfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, na uwezo, na nguvu na utukufu, 38na kila mahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani amewatia mkononi mwako, naye amekumilikisha juu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu. Daniel 2:37-38.
Pembe/Wafalme--- Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Ufunuo 17:12.
Pembe/Mamlaka (Power)--- “Pembe mbili kama mwanakondoo’ huwakilisha vizuri tabia ya Serikali ya Marekani, kama inavyoelezwa na kanuni zake mbili za msingi, Utaifa/Demokrasia(Republicanism) na Uprotestanti(Protestantism). Kanuni hizi ni siri ya nguvu yetu na mafanikio kama taifa. Wale wote waliopata kwanza kimbilio katika pwani za marekani walifurahia kwamba wamefika katika nchi ambayo ni huru kutoka kwa madai yenye kiburi ya Upapa na utawala wa kimabavu wa kifalme. Walikusudia kuanzisha serikali iliyojengwa juu ya msingi wa uhuru wa Kisiasa na Kidini.” Signs of the Times, November 1, 1899.
“Zekaria tena aliona nguvu/mamlaka zilizokuwa zime ‘tawanya Yuda, Israeli, na Yerusalem,’ zikiwakilishwa na pembe nne. Mara baadae aliona maseremala wanne, wakiwakilisha wahusika(agents) waliotumiwa na Bwana katika kuwajenga upya watu wake na nyumba yake ya ibada.” Prophets and Kings, 581.
Wafalme 10 Wampa(Mnyama) Ufalme(1) wao
16Na zile pembe pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia huyo kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto. 17Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe. Ufunuo 17:16-17
(Pembe 10)Zapokea Mamlaka Pamoja na Mnyama
Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Ufunuo 17:12
Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa(mkuu), wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi. Ufunuo 17:18.
Mji/Ufalme--- Ufunuo 3:12; 11:8, 13; 14:8; 16:19; 18:10, 16, 18, 19, 21; 20:9; 21:2, 10, 14–16, 18, 19, 21, 23; 22:14, 19.
“Kadri tunavyokaribia machafuko(crisis) ya mwisho, ni wakati muhimu kwamba mapatano na umoja yawepo kati ya vyombo vya Mungu. Ulimwingu umejazwa na tufani na vita na kutokuwa sawa. Lakini chini ya Kichwa komoja--- nguvu ya Upapa—watu wataungana kumpinga Mungu katika nafsi za mashahisi wake. Umoja huu umetiwa gundi na opotofu mkuu.” Testimonies, Vol. 7, 182.
Mwanamke amekaa juu ya Mnyama
...nikaona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu sana... Ufunuo 17:3
Watu(Jamaa), na Makutano, na Mataifa, na Lugha
...kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi... Ufunuo 17:3
...yale maji uliyoyaona hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa, na makutano, na mataifa na lugha. Ufunuo 17:15.
Hapo ndipo penye akili zenye hekima, vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo. Ufunuo 17:9.
“ Mwishoni aliona kwa mbali mji wenye vilima saba. “ kwa hisia nzito (Martin Luther) alilala kifudifudi ardhini, akitamka: ‘ Rumi Takatifu, Nakusalimu!’” The Great Controversy, 124.
“ Msitari wa unabii ambapo ishara hizi zinapatikana zinanzia na Ufunuo 12, na Joka aliyetaka kumangamiza Kristo wakati wa kuzaliwa kwake. Joka asema kuwa ni Shetani (Ufunuo 12:9); yeye ndiye aliyemshawishi Herode kumuua Mwokozi. Lakini mwakilishi mkuu wa Shetani katika kufanya vita na Kristo na watu wake wakati wa karne za kwanza za kipindi cha Ukristo alikuwa ni Utawala wa Rumi, katika huo Upagani ulikuwa ndiyo dini inayotawala. Hivyo wakati Joka, kimsingi anawakilisha Shetani, ni katika, maana ya pili, ishara ya Rumi ya Kipagani.” The Great Controversy, 438.

Milima
“...vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo. Ufunuo 17:9.
Juu ya Milima
Naye ataweka hema zake za kifalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa uzuri; lakini ataifikilia ajali yake, wala hakuna atakaye msaidia. Daniel 11:45
Ee Bwana sawasawa na haki yako yote, nakusihi, hasira yako na ghadhabu yako zigeuzwe na kuuachia mji wako Yerusalemu, Mlima wako mtakatifu; maana kwa sababu ya dhambi zetu na maovu ya baba zetu, Yerusalemu na watu wako wamepata kulaumiwa na watu wote wanaotuzunguka. Daniel 9:16.
1Hili ndilo neno aliloliona Isaya mwana wa Amozi katika habari za Yuda na Yerusalemu. 2Na itakuwa katika siku za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote watauendea makundi makundi. 3Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu ya mlima wa Bwana, nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la Bwana katika Yerusalemu. Isaya 2:1-3.
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu. Isaya 4:1.
Mkate--- “ Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno litakalo katika kinywa cha Mungu,’ ni maneno ya Mwokozi. Makosa katika mafundisho (Doctrine) yanazidi kuongezeka yakijifungamanisha na uerevu kama wa nyoka ukizunguka mambo wapendeleayo watu. Hakuna fundisho la Biblia ambalo halijakanwa. Ukweli mkuu wa unabii, ukionyesha sehemu yetu katika historia ya ulimwengu, umehafifishwa uzuri na nguvu zake na viongozi wa dini (Clergy), ambao wanatafuta kufanya kweli hizi zote muhimu giza na zisizoeleweka.” Testimonies, Vol. 5, 330.
Mavazi--- “ Tunatakiwa kuleta kwa waliopotea habari njema kwamba Kristo anaweza kusamehe dhambi, anaweza kufanya upya asili, anaweza kuvisha nafsi katika mavazi ya haki yake, kumleta mdhambi kwenye akili yake sawa, na kumfundisha na kumfanya afae kuwa mtendakazi na Bwana.” Christian Education, 96.
Jina Lako--- “16Naye awafanya wote wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao. 17Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa anachapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake. Ufunuo 13:16-17.
Onyo la malaika wa tatu ni: ‘ kama mtu yeyote akimuabudu mnyama na sanamu yake, na kupokea alama yake katika paji lake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa mvinyo wa ghadhabu ya Mungu.’ ‘Mnyama’ alietajwa katika ujumbe huu, ambaye ibdaya yake ni ya kulazimishwa kupitia mnyama mwenye pembe mbili, ni wa kwanza, au mnyama anayefanana na chui wa Ufunuo 13--- Upapa. ‘Sanamu ya Mnyama’ huwakilisha ile namna ya Uprotestanti ulioasi/anguka, ambao utatengenezwa na kuendelezwa wakati makanisa ya Kiprotestant yatakapotafuta msaada wa nguvu ya Kisiasa ili kushinikiza/tegemeza mafundisho yao.
“ Baada ya onyo dhidi ya ibada ya mnyama na sanamu yake unabii unatamka kwamba: ‘ Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu’. Ufunuo 14:12. Kwa kuwa wale wanaoshika amri za Mungu wamewekwa kinyume na hao wanaoabudu mnyama na sanamu yake na kupokea alama yake, hivyo basi kutunza sheria ya Mungu, kwa upande mmoja, na kuziasi kwa upande wa pili, hufanya utofauti kati ya waabudu Mungu na waabudu mnyama.
“ Tabia maalumu ya mnyama na hivyo ya sanamu yake, ni kuvunja amri za Mungu. Anasema Daniel, kuhusu pembe ndogo, Upapa: ‘ Ataazimu kubadili majira na sheria.’ Daniel 7:25. Na Paulo ameelezea mamlaka hiyo hiyo kama ‘mtu wa dhambi’, ambaye angejiinua juu ya Mungu. Unabii mmoja ni nyongeza kwa mwingine. Ni kwa kubadili tu sheria upapa ungeweza kujiinua juu ya Mungu; yeyeto ambaye angetunza sheria kama ilivyo badilishwa huku akijua anakuwa anatoa heshima kuu kwa hiyo mamlaka ambayo kwayo badiliko lilifanywa. Hiyo namna ya utii kwa sheria za upapa huwa ni alama ya utii kwa papa badala ya Mungu. The Great Controversy, 446.
“ Ujumbe wa malaaika wa tatu umeshatumwa ulimwenguni, ukiwaonya watu kutopokea alama ya mnya au sanamu yake katika mapaji yao au katika mikono yao. Kupokea alama hii humaanisha kufikia uamuzi uleule kama mnyama aliofanya, na kuunga mkono mawazo yale yale, kupinga moja kwa moja neno la Mungu.” Review and Herald, July 13, 1897.
Aibu--- “Wale ambao wamekuwa hawajitumainii, ambao wamekuwa katika mazingira kwamba hawajathubutu kukabiliana na ubaguzi na aibu, mwishowe watajitangaza wenyewe kwa Yesu na sheia yake; wakati wengi walionekana kuwa miti inyostawi, lakini hawajazaa matunda, wataenenda na makutano kufanya movu, na watapokea alama ya uasi katika paji la uso au katika mkono.” Review and Herald, Number 8, 1892.
Mnyama
Yule mnyama uliyemuona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu, na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwapo, naye hayuko, naye atakuwako. Ufunuo 17:8.
Atapanda--- Na wakati wa mwisho mfalme wa kusini (Misri=Ufaransa=Ukomunisti=Dunia) atashinda naye; na mfalme wa kaskazini (Babeli=Mnyama=Upapa) atamshambulia(=kupanda kinyume) kwa upepo wa kisulisuli, pamoja na magari ya vita, na wapanda farasi, na merikebu nyingi; naye ataingia katika nchi hizo na kufurika na kupita katikati. Daniel 11:40.
13Nawe ulisema moyoni mwako, nitapanda mpaka mbinguni, nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa makutano, katika pande za mwhisho za kaskazini. 14Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na Yeye Aliye juu. Isaya 14:13-14.
“ Katika wakati huu wa kutawala kwa uovu, makanisa ya kiprotestanti ambayo yamekataa (kile kiitwacho) ‘asema Bwana’ yatafikia sehemu/mkato (pass) wa ajabu. Yataongolewa na ulimwengu. Katika kujitenga kwao na Mungu, watatafuta kufanya uongo na uasi kutoka kwa Mungu mtoa shria ya taifa. Watafanya kazi na watawala wa nchi kutengeneza sheria kurejesha kupanda kwa mtu wa dhambi, aketiye katika hekalu la Mungu, akijionyesha kuwa ni Mungu. Kanuni za Katoliki ya Rumi zitachukuliwa/wekwa chini ya uhifadhi/ulinzi wa taifa. Utetezi wa ukweli wa Biblia hautavumiliwa tena na wale ambao hawajafanya sheria ya Mungu kanuni yao ya maisha.” Review and Herald, December 21, 1897.
Kutoka Kuzimu (bottomless pit)--- “ kwamba msemo ‘kuzimu’ huwakilisha dunia katika hali ya machafuko na giza hushuhusiwa pia katika maandiko mengine.” The Great Controversy, 658.
“ Watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao [wanamaliza].’ Kipindi ambacho mashahidi wawili watatoa unabii huku wamevikwa magunia kiliisha 1798. Walipokuwa wanakaribia kumalizika kwa kazi yao katika giza, vita vilipaswa kupigwa juu yao na mamlaka inayowakilishwa kama ‘mnyama apandaye kutoka kuzimu’. Katika mengi ya mataifa ya Ulaya mamlaka zilizotawala Kanisa na Dola/taifa zimekuwa kwa karne nyingi zikiongozwa na shetani, kupitia uwakilishi wa upapa. Lakini hapa huletwa katika mtazamo udhihirisho mpya wa mamlaka/nguvu ya Shetani.” The Great Controversy, 268.
“ Nilimwambia kwamba Bwana amenionyesha mimi katika maono kwamba mazingaombwe ya kimuujiza(maajabu ya kimuujiza)[mesmerism] yanatoka kwa Shetani, kutoka kuzimu, na kwamba mapema yataenda pale (kuzimu) na mapema yataenda na hao wanaoendelea kuyatumia.” Review and Herald, July 21, 1851.
Ufunuo 9:2; 11:7; 20:1-3.
Uharibifu (Perdition)
Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu. 2 Wathesalonike 2:3.
Wakaao katika nchi watastaajabu, ambao majina yao hayajaandikwa--- 3Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona, Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. 4Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? 8Na watu wote wakaao juu ya nchi wakamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia. Ufunuo 13:3,4 & 8.
Yule mnyama uliyemuona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu, na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwapo, naye hayuko, naye atakuwako. Ufunuo 17:8.
Mnyama ambaye Alikuwako, na Hayuko, na Atapanda
Alikuwako na Hayuko--- “ Vipindi vilivyotajwa hapa--- ‘ miezi arobaini na mbili (42),’ na ‘siku elfu na mia mbili na sitini’--- ni kimoja, vikifanana vikiwakilisha kipindi ambacho kanisa la Kristo lingepitia mateso kutoka Rumi. Miaka 1260 ya utawala wa upapa ilianza 538 A.D., na hivyo kuisha 1798. Kipindi hicho jeshi la Kifaransa liliingia Rumi na kumfanya papa mfungwa, na kufa uhamishoni. Japokuwa mara papa mpya alichaguliwa, utawala wa kipapa kamwe haujaweza kutumia mamlaka iliyokuwa nayo kabla.” The Great Controversy, 266.
Atapanda--- “Unabii wa Ufunuo 13 unatamka kwamba mamlaka inayowakilishwa na mnyama mwenye pembe kama mwanakondoo atafanya ‘dunia na hao wakaao humo’ kuabudu upapa--- unaowakilishwa na mnyama ‘mfano wa chui.’ Mnyama mwenye pembe mbili pia atasema ‘kwa hao wakaao katika nchi, kwamba wamfanyie sanamu mnyama;’ na, tena, ataamuru wote, ‘ wadogo na wakubwa, matajiri na masikini, huru na wafungwa,’ kupokea alama ya mnyama. Ufunuo 13:11-16. Imeonyeshwa kwamba Marekani ni mnyama anayewakilishwa na mnyama mwenye pembe kama mwanakondoo, na kwamba unabii huu utatimizwa wakati Marekani italazimisha utunzaji wa Jumapili, ambao Rumi inadai kwamba ni udhihirisho wa ukuu wake. Lakini katika kukiri/utii (homage) huu kwa upapa Marekani haitakuwa peke yake. Ushawishi wa Rumi katika nchi ambazo kabla zilikiri utawala wake uko mbali na kuharibiwa. Na unabii unatabiri urejeshwaji wa wa mamlaka yake. ‘Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona, Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule’ Ufunuo 17:3. Kutia jeraha la mauti husonda kwa kuanguka kwa upapa mwaka 1798. Baada ya hili, anasema nabii, ‘ jeraha lake la mauti likapona: na dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.’ Paulo anasema wazi kwamba ‘mtu wa dhambi’ ataendelea mpaka ujio wa (Yesu) wa mara ya pili. 2 Thesalonike 2:3-8. Mpaka mwisho kabisa wa muda ataendeleza mbele kazi ya udanganyifu. Na (Yohana) Mfunuaji anatamka, pia akiashia upapa: ‘wote wanaokaa duniani watamuabudu (mnyama) wale ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima.’ Ufunuo 13:8. Kote katika Ulimwengu wa Zamani na Mpya, upapa utapokea utii kwa heshima itolewayo kwa taasisi ya Jumapili, inayotoka kabisa katika utawala wa Kanisa la Rumi.” The Great Controversy, 578.
10Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda kidogo. 11Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. Ufunuo 17:10-11
10Navyo ni wafalme saba[Jumla=7]. Watano wamekwisha kuanguka[+5], na mmoja yupo[+1], na mwingine hajaja bado[+1]. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda kidogo. 11Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane[anakuja mara ya pili kama wa 8th lakini ni wa 5th = Upapa], naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. Ufunuo 17:10-11
“Kuna haja ya kujifunza kwa kinazaidi neno la Mungu; hasa imepaswa Danieli na Ufunuo watiliwe umaanani sana kuliko hapo mwanzo katika historia ya kazi yetu. Tunaweza kuwa na machache ya kusema katika baadhi ya mistari(mafungu), kuhusiana na Mamlaka ya Rumi na Upapa; lakini imepasa tutilie maanani yale manabii na mitume wameandika chini ya uvuvio wa Roho Mtakatifu wa Mungu. Roho Mtakatifu ametengeneza sana mambo, katika utoaji wa unabii na katika matukio yaliyoonyeshwa, kana kwamba kufundisha kuwa binadamu hatakiwi kuonekana, afichwe ndani ya Kristo, na kwamba Mungu wa mbinguni na sheria yake ziinuliwe. Soma kitabu cha Danieli. Taja, kitu baada ya kitu, historia ya falme imeelezewa (presented).” Testimonies to Ministers, 112.
Babeli, Medi-Ajemi, Uyunani na Rumi
“Taji ilitolewa kwa Israeli na kupewa kwa falme za Babeli, Medi-Ajemi, Uyunani na Rumi. Mungu asema, ‘Haitakuwepo tena, mpaka aje yule ambaye mwenye haki nayo; na nitampa Yeye.’ Education, 179.
Watano[5] Wamekwisha Kuanguka---Babeli, Medi-Ajemi, Uyunani, Rumi-Pagani na Rumi-Papa.
7Baadaye nikaona katika njozi ya usiku, na tazama mnyama wa nne, mwenye kutisha, mwenye nguvu, mwenye uwezo mwingi, naye alikuwa na meno ya chuma, makubwa sana;alikula na kuvunja vipande vipande, na kuyakanyaga mabaki kwa miguu yake; na umbo lake lilikuwa mbali sana na wale kwanza naye alikuwa na pembe kumi. 8Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang’olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu. 11Nikatazama wakati huo; kwa sababu ya sauti ya yale maneno makubwa iliyoyasema ile pembe; nalitazama hata mnyama yule akauawa, mwili wake ukaharibiwa, akatolewa ateketezwe kwa moto. 12Na kwa habari za wale wanyama wengine, walinyang’anywa mamlaka yao; walakini maisha yao yalidumishwa kwa wakati na majira. Danieli 7:7,8,11,12.
Mmoja Yupo---
Mnyama kabla yake
Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanye dunia na hao wote wakaao ndai yake wamsujudu mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona. Ufunuo 13:12.
Ajaye katika tukio
“Nikaona kwamba mnyama mwenye pembe mbili alikuwa na mdomo wa joka, na kwamba mamlaka/nguvu yake ilikuwa kichwani mwake, na kwamba agizo/amri itatoka mdomoni mwake. Kisha nikaona Mama wa Makahaba; kwamba mama hakuwa mabinti, ila pekee na tofauti na wao. Alikuwa ametimiza muda wake, na umepita, na mabinti wake, madhehebu ya kiprotestanti, wao ndo wa pili kufuatia na kutenda akili iliile ambayo mama alikuwa nayo alipotesa watakatifu. Nikaona kwamba kwa kadri mama alivyokuwa anakungua katika nguvu/mamlaka mabinti wamekuwa wakikua, na mapema watatumia nguvu/mamlaka ambayo iliwahi kutumiwa na mama.” Spalding and Magan, 1.
Nguvu/Mamlaka mpya
“Wakati Upapa, uliponyang’anywa uwezo wake, ulilazimika kuacha mateso, Yohana aliona mamlaka mpya ikija kurudisha mwangwi wa sauti ya joka, na kuendeleza unyama uleule na kazi ya makufuru. Mamalaka hii. Ya mwisho ambayo itafanya vita dhidi ya kanisa na sheria ya Mungu, inawakilishwa na mnyama mwenye pemne kama mwanakondoo. Mnyama aliyemtangulia alipanda kutoka baharini; lakini huyu amekuja kutoka nchi kavu, akiwakilisha kuibuka kwa amani kwa taifa ambalo aliwakilisha---Marekani.” Signs of the Times, February 8, 1910.
Moja tu
“Ni taifa gani la Dunia Mpya ilikuwa mwaka 1798 linapanda kuwa na mamlaka, likionyesha dalili ya nguvu na ukuu, na likivutia ulimwengu? Kutumika kwa ishara hukiri swali. Taifa moja, na moja tu, linakamilisha mchanganuo wa unabii huu; husonda bila kukosea kwa Marekani.” The Great Controversy, 440.
Mmoja Atakuja---
Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Ufunuo 17:12.
Atakapokuja, Imempasa Kukaa Muda Mchache
10Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda kidogo. 11Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. Ufunuo 17:10-11
Wafalme[10] wa Saa Moja
Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Ufunuo 17:12.
Wanapokea Mamlaka[Ufalme Mmoja] na wanampa Mnyama Mamlaka yao----
12Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. 13Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao, na mamlaka yao. 17Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake(la mnyama), na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao(mmoja) hata maneno ya Mungu yatimizwe. Ufunuo 17:12, 13, 17.
Mnyama ni wa Nane[8th]
Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. Ufunuo 17:11
Pembe Kumi ni Wafalme
Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Ufunuo 17:12.
“ Katika tukio linalowakilisha kazi ya Kristo kwa ajili yetu, na mashitaka kusudiwa ya shetani dhidi yetu, Yoshua anasimama kama kuhani mkuu, na anatoa ombi akiwakilisha watu wa Mungu kama watu wakuu wa kutunza amri. Wakati huo huo Shetani huwawakilisha watu wa Mungu kama wadhambi wakuu, na huweka mbele ya Mungu mlolongo wa dhambi alizowashawishi kuzifanya katika maisha yao, na kusema kwamba kwa sababu ya uvunjifu wao, wakabidhiwe kwake awaangamize. Anadai kwamba wasilindwe na malaika watumishi kinyume na umoja wa uovu. Amejawa na hasira kwa sababu hawezi kuwafunga watu wa Mungu matita na dunia, kuwafanya watoe utii kamilifu kwake. Wafalme na watawala na magavana wameweka juu yao chapa ya mpinga kristo, na wanawakilishwa kama joka aendaye kufanya vita na watakatifu—na hao watunzao amri za Mungu na wenye imani ya Yesu. Katika uadui wao dhidi ya watu wa Mungu, wanajionye kuwa wanahatia pia ya uchaguzi wa Baraba badala ya Kristo.
“Mungu ana pambano na ulimwengu. Wakati hukumu itakapo kaa, na vitabu kufunguliwa, Atakuwa na ankara ya kutisha ya kulipa, ambayo itafanya ulimwengu kuogopa na kutetemeka kama watuhawakupofushwa na kulogwa na madanganyo na uongo wa Shetani. Mungu atauita ulimwengu kutoa hesabu kwa kifo cha Mwanawe wa pekee, ambaye kwa makusudi na madhumuni yote ulimwengu umemsulubisha tena/upya, na kumuweka kwenye aibu ya wazi kwa kuwatesa watu wake. Ulimwengu umemkataa Kristo katika nafsi ya watakatifu wake, umekataa ujumbe wake katika kukataa ujumbe wa manabii, mitume na wajumbe. Wamewakataa hao ambao wamekuwa watendakazi pamoja na Kristo, na kwa hili watatakiwa kutoa hesabu.” Testimonies to Ministers, 38-39.
12Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. 13Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao, na mamlaka yao. Ufunuo 17:12-13.
Hawa wana Shauri(Mind) Moja---
Ufunuo 17:13-14 inanukuu. Hawa wana shauri moja.’ Kutakuwa na kifungo cha Umoja cha ulimwenug wote, mapatano makuu ya pamoja, umoja wa nguvu za Shetani. ‘ Na wampa yule mnyama nguvu zao, na mamlaka yao.’ Hivyo hudhihirishwa nguvu/mamlaka ilele isiyotabirika, itesayo dhidi ya uhuru wa kidini, na uhuru wa kuabudu Mungu kulingana na dhamira, kama ilivyodhihirikshwa na upapa, zamani ilitesa wale waliodiriki kukataa kufungamana na matendo ya kidini na maadhimisho ya Urumi.
“Katika vita itakayopiganwa wakati wa mwisho kutakuwa na umoja, ukipingana na watu wa Mungu, mamlaka zote dhalimu ambazo zimeasi kutii sheria ya Yehova. Katika vita hii Sabato ya amri ya nne itakuwa ni jambo kubwa katika vita hiyo; kwa kuwa katika amri ya Sabato Mtoa sheria Mkuu Anajitambulisha kama Muumbaji wa Mbingu na Dunia.” The Seventh-day Adventist Bible Commentary, 983.
Umoja wa Tamaa ya Mali (Covetousness)
“Katika siku hizi za mwisho, kunaibuka nadharia za ajabu za uongo na nadharia za kibinadamu ambazo Mungu anatamka kwamba zitavunjwa vipande. Roho ya tamaa ya mali imesababisha watu kutafuta mapato ya kidunia, na kwa kufuja mali na kujionyesha wamejaribu kuficha matendo yao maovu ambayo wamefanya ili kufikia malengo yao. Watu wakiwa na madaraka makuu ya dhamana wamedhihirisha hii tamaa mapato ya kidhalimu; wamefanya unyang’anyi, wizi, na wamekidhi tamaa zao mbaya za mioyo yao, mpaka miji yetu ichafuliwe na uovu wao. Mungu ametangaza kwamba atazifunua hizo kazi za uongo na wizi kupitia utendaji wao wenyewe. Katika baadhi ya mambo hukumu ya Mungu imeshashuka kwa nguvu katika miji hiyo.
“ Bwana alisema nami kwa mkono wenye nguvu, na akaniagiza kwamba nisitembee katika njia ya watu hawa, nikisema Usiseme. Umoja(Confederacy), kwa wote wao ambao watu hawa watasema, Umoja; usiogope kitisho chao, wala usiogope. Mtakase Bwana wa majeshi mwenyewe; na awe Yeye hofu yako, na awe kitisho chako. Na atakuwa kwa ajili ya patakatifu; lakini kama jiwe likwazalo na mwamba wa kukosesha kwa zote nyumba za Israeli, ...kama mtego kwa wakazi wa Yerusalemu. Na wengi kati yao watajikwaa, na kuanguka na kuvunjika, na kutegwa, na kuchukuliwa. Ufunge ushuhuda, itie muhuri sheria kwa wanafunzi wangu.” Review amd Herald, July 18, 1907.
Jumuikeni (Associate) katika Jumuia za Siri (Secret Societies)
9Fanyeni ghasia(associate yourself), enyi kabila za watu, Nanyi mtavunjwa vipande vipande; Tegeni masikio, ninyi nyote wa nchi zilizo mbali; Jikazeni viuno, nanyi mtavunjwa vipande vipande. 10Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi. 11Maana Bwana aliniambia hivi, kwa mkono hodari, akanifundisha nisiende katika njia ya watu hawa, akisema, 12Msiseme, Ni fitina, katika habari ya mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni fitina; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope. 13BWANA wa majeshi ndiye mtakayemtakasa; na awe yeye hofu yenu, na awe yeye utisho wenu. Isaya 8:9-13.
“Kuna wale waulizao kwamba je ni sahihi kujiunga na the Free Masons na Jumuia zingine za siri. Hebu hao wote watafakari maandiko yaliyonukuliwa punde(Isaya 8:9-13). Kama sisi ni wakristo kweli, ni lazima tuwe wakristo kila mahali, na ni lazima tutafakari na kujali mashauri tuliyopewa kutufanya wakristo kulingana na kanuni ya neno la Mungu.” Evangelism, 617-118.
Jumuia Hizi Hutoa Baadhi ya Faida
“Katika ufunuo wa hukumu zake za haki, Mungu atazivuja hizi jumuia zote; na wakati hukumu itakapo kaa na vitabu kufunguliwa, kutadhihirishwa kutokufanana na Kristo kwa Jumuia(Confederacy) nzima. Wale wanaochagua kujiunga na jumuia hizi za siri wanatoa heshima zao kwa sanamu zisizo na utambuzi na zisizi na nguvu za kubariki na kuokoa roho kama ilivyo miungu ya Wahindu.
“Jumuia hizi hutoa baadhi ya faida(advantages) ambazo katika mtazamo wa kibinadamu huonekana kama mbaraka mkuu, lakini si hivyo ikipimwa na kipimo cha Mungu. Nyuma ya kile kionekanacho kama faida wamefichwa wawakilishi wa Shetani. Kwa kadri ilivyo kubwa faida ichotwayo kuwekwa kwenye hazina ndivyo uovu ulivyo mkubwa na wenye kina zaidi. Mapato yasiyo ya Kimungu ambayo yamezitajirisha hizi jumuia zitaonekana ni laana zikichunguzwa katika tabia yake yote. Maneno ambayo Elifazi aliongea kwa Ayubu ni ya kweli yakihusianishwa na jumuia hizi: ‘ Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.’ (Ayubu 5:3). Ni mitego ya Shetani, watu wa kutega nafsi.’ Selected Messeges, Book 2, 131.
Vita na Mwana-Kondoo
Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na walio pamoja naye ndiyo walioitwa, na wateule, na waaminifu. Ufunuo 17:14.
“[Shetani] Amejawana ghadhabu kwa sababu hawezi kuwafungamanisha watu wa Mungu na Dunia, kuwataka wampe yeye utii kamili. Wafalme, na watawala, na magavana wamejiwekea wenyewe alama ya mpinga-kristo, na wanawakilishwa na joka ambaye anaenda kufanya vita na watakatifu,-- na hao wazishikao amri za Mungu, na wana imani ya Yesu. Katika uadui wao dhidi ya watu wa Mungu, wanajionyesha wenyewe wenye hatia pia kwa kukchagua Baraba badala ya Kristo. Mungu anapamabano na ulimwengu. Wakati hukumu itakapo kaa/anza, na vitabu vitafunguliwa, [Shetani]atakuwa na hesabu/ankara ya kutisha apaswayo kuilipa, ambayo itaufanya ulimwengu kuogopa na kutetemeka, watu wasingepofushwa na kulogwa na viini-macho na uongo wa Shetani. Mungu atauita ulimwengu kutoa hesabu kwa kifo cha Mwana wake wa pekee, ambaye kwa makusudi na madhumuni ulimwengu umemsulubisha upya/tena, na kumuweka katika aibu ya wazi kwa kutesa watu wake. Ulimwengu umemkataa Kristo katika nafsi ya watakatisu wake, umekataa ujumbe wake kwa kukataa ujumbe wa manabii, mitume, na wajumbe. Wamewakataa wale ambao wamekuwa watenda kazi pamoja na Kristo, na kwa ajili ya hili watatakiwa kutoa hesabu.” Review and Herald, August 29, 1893.
“The powers of Satan are mustering for battle. Stern conflicts are before us. Press together, my brethren and sisters, press together. Bind up with Christ. ‘Say ye not, A Confederacy; . . . neither fear ye their fear, nor be afraid. Sanctify the Lord of hosts himself; and let him be your fear, and let him be your dread. And he shall be for a sanctuary to his people; but for a stone of stumbling and for a rock of offence to both the houses of Israel, for a gin and for a snare to the inhabitants of Jerusalem. And many among them shall stumble, and fall, and be broken, and be snared, and be taken.’

“I am instructed to say to those who know the truth, ‘Bind up the testimony, seal the law among my disciples. And I will wait upon the Lord, that hideth his face from the house of Jacob, and I will look for him. Behold, I and the children whom the Lord hath given me are for signs and for wonders in Israel from the Lord of hosts, which dwelleth in Mount Zion. And when they shall say unto you, seek unto them that have familiar spirits, and unto wizards that peep, and that mutter; should not a people seek unto their God? for the living to the dead? To the law and to the testimony: if they speak not according to this word, it is because there is no light in them.’
“‘And I saw three unclean spirits like frogs come out of the mouth of the dragon, and out of the mouth of the beast, and out of the mouth of the false prophet. For they are the spirits of devils, working miracles, which go forth unto the kings of the earth and of the whole world, to gather them to the battle of that great day of God Almighty. Behold, I come as a thief. Blessed is he that watcheth, and keepeth his garments, lest he walk naked,’—without the robe of Christ's righteousness—’and they see his shame.’ . . .
“These subjects are of the utmost importance. Urge our people to consider them carefully. When they do this, their minds will be so fully occupied with matters of eternal consequence that they will lose sight of the little differences that once annoyed them. They will realize that prophecy is even now fulfilling. If the minds of the people of God were not occupied with things of minor consequence, they would see that the signs of the times are fast fulfilling, and that events of the greatest consequence to them are taking place in the world and in the churches pointed out by the words, ‘Babylon the great is fallen, is fallen, and is become the habitation of devils, and the hold of every foul spirit, and a cage of every unclean and hateful bird.’” Bible Training School, December 1, 1902.
“Spiritualism asserts that men are unfallen demigods; that ‘each mind will judge itself;’ that ‘true knowledge places men above all law;’ that ‘all sins committed are innocent;’ for ‘whatever is, is right,’ and ‘God doth not condemn.’ The basest of human beings it represents as in heaven, and highly exalted there. Thus it declares to all men, ‘It matters not what you do; live as you please, heaven is your home.’ Multitudes are thus led to believe that desire is the highest law, that license is liberty, and that man is accountable only to himself.
“With such teaching given at the very outset of life, when impulse is strongest, and the demand for self-restraint and purity is most urgent, where are the safeguards of virtue? what is to prevent the world from becoming a second Sodom? At the same time anarchy is seeking to sweep away all law, not only divine, but human. The centralizing of wealth and power; the vast combinations for the enriching of the few at the expense of the many; the combinations of the poorer classes for the defense of their interests and claims; the spirit of unrest, of riot and bloodshed; the world-wide dissemination of the same teachings that led to the French Revolution—all are tending to involve the whole world in a struggle similar to that which convulsed France.” Education, 227–228.
“O that God’s people had a sense of the impending destruction of thousands of cities, now almost given to idolatry! But many of those who should be proclaiming the truth are accusing and condemning their brethren. When the converting power of God comes upon minds, there will be a decided change. Men will have no inclination to criticize and tear down. They will not stand in a position that hinders the light from shining to the world. Their criticism, their accusing, will cease. The powers of the enemy are mustering for battle. Stern conflicts are before us. Press together, my brethren and sisters, press together. Bind up with Christ. ‘Say ye not, A confederacy, . . . neither fear ye their fear, nor be afraid. Sanctify the Lord of hosts himself; and let him be your fear, and let him be your dread. And he shall be for a sanctuary; but for a stone of stumbling and for a rock of offense to both the houses of Israel, for a gin and for a snare to the inhabitants of Jerusalem. And many among them shall stumble, and fall, and be broken, and be snared, and be taken.’

“The world is a theater. The actors, its inhabitants, are preparing to act their part in the last great drama. God is lost sight of. With the great masses of mankind there is no unity, except as men confederate to accomplish their selfish purposes. God is looking on. His purposes in regard to his rebellious subjects will be fulfilled. The world has not been given into the hands of men, though God is permitting the elements of confusion and disorder to bear sway for a season. A power from beneath is working to bring about the last great scenes in the drama,—Satan coming as Christ, and working with all deceivableness of unrighteousness in those who are binding themselves together in secret societies. Those who are yielding to the passion for confederation are working out the plans of the enemy. The cause will be followed by the effect.
“Transgression has almost reached its limit. Confusion fills the world, and a great terror is soon to come upon human beings. The end is very near. We who know the truth should be preparing for what is soon to break upon the world as an overwhelming surprise.” Review and Herald, September 10, 1903.
Pembe Kumi[10] ni Wafalme Kumi[10]
12Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi, ambao hawajapoke ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. 13Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao, na mamlaka yao. Ufunuo 17:12-13.
The Ten horns are Ten Kings
And the ten horns which thou sawest are ten kings, which have received no kingdom as yet; but receive power as kings one hour with the beast. These have one mind, and shall give their power and strength unto the beast. Revelation 17:13–14.
“Tumefika wakati ambapo kazi takatifu ya Mungu inawakilishwa na miguu ya sanamu katika hiyo chuma kilikuwa kimechanganywa na udongo mfinyanzi. Mungu ana watu, watu pekee, ambao utambuzi wao ni lazima utakaswe, ambao hawapaswi kuwa wasio watakatifu kwa kuweka msingi wa miti, majani na magugu. Kila nafsi ambaye ni mtiifu kwa amri za Mungu ataona kwamba kinachotofautisha imani yetu ni Sabato ya siku ya saba. ... lakini viongozi wa nchi wataiinua sabato ya uongo, na watachanganya imani yao ya dini na kuazimisha huyu mtoto wa upapa, wamkimweka juu ya Sabato ambayo Bwana aliitakasa na kuibariki....kuchanganywa kwa mbinu za kanisa na mbinu za taifa huwakilishwa na chuma na udongo[The mingling of churchcraft and statecraft is represented by the iron and the clay].”... The Seventh-day Adventist Bible Commentary, volume 4, 1168–1169.
Psalms 83:1-18
A Song or Psalm of Asaph. Keep not thou silence, O God: hold not thy peace, and be not still, O God. For, lo, thine enemies make a tumult: and they that hate thee have lifted up the head. They have taken crafty counsel against thy people, and consulted against thy hidden ones. They have said, Come, and let us cut them off from being a nation; that the name of Israel may be no more in remembrance. For they have consulted together with one consent: they are confederate against thee:
The tabernacles of Edom [1], and the Ishmaelites [2]; of Moab [3], and the Hagarenes [4]; Gebal [5], and Ammon [6], and Amalek [7]; the Philistines [8] with the inhabitants of Tyre [9]; Assur [10] also is joined with them: they have holpen the children of Lot. Selah.
Do unto them as unto the Midianites; as to Sisera, as to Jabin, at the brook of Kison: Which perished at Endor: they became as dung for the earth. Make their nobles like Oreb, and like Zeeb: yea, all their princes as Zebah, and as Zalmunna: Who said, Let us take to ourselves the houses of God in possession.
O my God, make them like a wheel; as the stubble before the wind. As the fire burneth a wood, and as the flame setteth the mountains on fire; So persecute them with thy tempest, and make them afraid with thy storm. Fill their faces with shame; that they may seek thy name, O Lord. Let them be confounded and troubled for ever; yea, let them be put to shame, and perish: That men may know that thou, whose name alone is Jehovah, art the most high over all the earth. Psalm 83:1-18
Zeeb: Wolf, a pack animal. Zalmunna: Shadow of protection withdrawn. Zebah: Born on the day of sacrifice.
The Rock of Oreb—
Oreb:Raven, an unclean bird.
Therefore thus saith the Lord God of hosts, O my people that dwellest in Zion, be not afraid of the Assyrian: he shall smite thee with a rod, and shall lift up his staff against thee, after the manner of Egypt. For yet a very little while, and the indignation shall cease, and mine anger in their destruction. And the Lord of hosts shall stir up a scourge for him according to the slaughter of Midian at the rock of Oreb: and [as] his rod [was] upon the sea, so shall he lift it up after the manner of Egypt. Isaiah 10:24–26.
The Men of Thy Confederacy
The whole book of Obadiah
The vision of Obadiah. Thus saith the Lord God concerning Edom; We have heard a rumour from the Lord, and an ambassador is sent among the heathen, Arise ye, and let us rise up against her in battle.
Behold, I have made thee small among the heathen: thou art greatly despised. The pride of thine heart hath deceived thee, thou that dwellest in the clefts of the rock, whose habitation is high; that saith in his heart, Who shall bring me down to the ground?
Though thou exalt thyself as the eagle, and though thou set thy nest among the stars, thence will I bring thee down, saith the Lord. If thieves came to thee, if robbers by night, (how art thou cut off!) would they not have stolen till they had enough? if the grapegatherers came to thee, would they not leave some grapes?
How are the things of Esau searched out! how are his hidden things sought up! All the men of thy confederacy have brought thee even to the border: the men that were at peace with thee have deceived thee, and prevailed against thee; they that eat thy bread have laid a wound under thee: there is none understanding in him.
Shall I not in that day, saith the Lord, even destroy the wise men out of Edom, and understanding out of the mount of Esau? And thy mighty men, O Teman, shall be dismayed, to the end that every one of the mount of Esau may be cut off by slaughter.
For thy violence against thy brother Jacob shame shall cover thee, and thou shalt be cut off for ever. In the day that thou stoodest on the other side, in the day that the strangers carried away captive his forces, and foreigners entered into his gates, and cast lots upon Jerusalem, even thou wast as one of them. But thou shouldest not have looked on the day of thy brother in the day that he became a stranger; neither shouldest thou have rejoiced over the children of Judah in the day of their destruction; neither shouldest thou have spoken proudly in the day of distress. Thou shouldest not have entered into the gate of my people in the day of their calamity; yea, thou shouldest not have looked on their affliction in the day of their calamity, nor have laid [hands] on their substance in the day of their calamity; Neither shouldest thou have stood in the crossway, to cut off those of his that did escape; neither shouldest thou have delivered up those of his that did remain in the day of distress.
For the day of the Lord is near upon all the heathen: as thou hast done, it shall be done unto thee: thy reward shall return upon thine own head. For as ye have drunk upon my holy mountain, so shall all the heathen drink continually, yea, they shall drink, and they shall swallow down, and they shall be as though they had not been.
But upon mount Zion shall be deliverance, and there shall be holiness; and the house of Jacob shall possess their possessions. And the house of Jacob shall be a fire, and the house of Joseph a flame, and the house of Esau for stubble, and they shall kindle in them, and devour them; and there shall not be any remaining of the house of Esau; for the Lord hath spoken it. And they of the south shall possess the mount of Esau; and they of the plain the Philistines: and they shall possess the fields of Ephraim, and the fields of Samaria: and Benjamin shall possess Gilead. And the captivity of this host of the children of Israel shall possess that of the Canaanites, even unto Zarephath; and the captivity of Jerusalem, which is in Sepharad, shall possess the cities of the south. And saviours shall come up on mount Zion to judge the mount of Esau; and the kingdom shall be the Lord’s. Obadiah 1:1-21
Pembe Kumi Zitamchukia Kahaba
16Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, na watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto. 17Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe. Ufunuo 17:16-17.

Kwa habari zaidi:
Mwinjilisti Imanueli M. Kapaya
saga6791@gamil.com
+255(0)716 236 149

No comments:

Post a Comment