Tuesday, October 22, 2013

MIHURI SABA YA UFUNUO 6-8


MIHURI SABA
Mwj. Saganga KAPAYA;
Tegeta SDA Church
Kitabu cha ufunuo
Ni ufunuo wa Yesu uf 1:1
Ni ishara  uf 1:1
Kimeandikwa kwa kutumia lugha ya ishara/picha
Kimeandikwa kikitumia lugha ya kijeshi pia
Kinatumia a chaiastic structure:
muundo wa A-B-A*
Kina maudhui yanayojirudia rudia
Kinamfunua Kristo na kanisa lake na mahali walipo katika pambano kuu
Kitabu cha ufunuo
Kinatumia lugha ya picha ya mandhari ya hekalu
Kinatumia/kunukuu; wahusika, matukio,n.k. ya kitabu cha agano la kale
Kimepangwa katika muundo wenye safu zenye matukio saba-saba
Mihuri Saba: Msingi wake
Ufunguo wa kuielewa Mihuri 7 ni Uf. 5
Siku ya Pentekoste ni siku ya kuanza mihuri 7.
Ufunuo 5:1-14 (Kutawazwa=Coronation)
f.1-kitabu kimeandikwa ndani na nje + mihuri 7
Yosh. 1:6-9, kumb. 17:14-(18*)20, zab. 1:2, mithali 3:1-5, 2 Waf. 11:12*, Kum. 31:9
Mfalme alipowekwa madarakani alikabidhiwa Torati.
f.2- malaika mwenye nguvu anahusishwa na tukio Muhimu sana-(mf. Gabriel=Nguvu za Mungu)
Mihuri Saba: Msingi wake
f.5- mihuri saba=(pete ya mfalme), huwakilisha mamlaka, umiliki, n.k.
f.6-kiti cha enzi=kochi refu, waweza kaa 2,3… uf.3:20-21.
Pembe 7=nguvu, falme
Macho 7= Roho
Nambari 7 ni ukamilifu
Mihuri Saba: Msingi wake
f.8-vitasa=mabakuli yaliyotumika hekaluni, huwakilisha maombi ya watakatifu/manukato
f.9-anastahili Mwana-Kondoo
f.11-Mwana-Kondoo apewa mamlaka
f.6-Roho 7 zilizotumwa Duniani (Siku ya Pentekoste),
Katika Uf. 4:5, zilikuwa hazijatumwa
Mihuri Saba: Msingi wake
Wazee 24, na wenye uhai 4
12 (Taifa la Mungu)=Israeli waliomwamini Yesu, +
12 (Taifa la Mungu=Mataifa waliomwamini Yesu
Rejea: Yak. 1:1, Gal. 3:26-29, 1Pet. 2:9-10)
f.12-14-Mwana-Kondoo atukuzwa, na kupewa mamlaka na enzi (Kol. 2:15)uhai
Wenye uhai 4: Uf 4:6b-7 pia Ez 1:10
Hes 2:2“Wana wa Israeli watapanga kila mtu penye beramu yake mwenyewe, na alama za nyumba za baba zao; kuikabili hema ya kukutania ndiko watakakopanga kwa kuizunguka pande zote.”
Mihuri Saba: Msingi wake
Neno: BERAMU=nembo (insignia/emblem)
Kila kabila la israeli walikuwa na nembo ya kabila lao
Kila mwenye uhai huwakilisha nembo ya kabila, kati ya makabila 4 yaliyokuwa mstari wa mbele
Makabila haya manne:
Yuda-mashariki (mfano wa simba), Hes.2 : 3, Ez. 41:19
Efraim-magharibi (mfano wa ng’ombe) Hes 2:18, Hos 10:11, Kumb. 33:13-17
Reuben-kusini (uso wa mwanadamu) Hes 2:10-11, Ez 41:19
Dani-kaskazini (mfano wa tai), Hes. 2:25
Mihuri Saba: Msingi wake
Kuna kufanana kwa wenye uhai 4 katika uf 4:6b-7 na Ez. 1:5-6,10, 10:14 na Isa 6.
Wako 4, nambari 4 (note: 3 ni ya kiungu) ni ya kiulimwengu, ikiwakilisha ulimwengu. Ncha zake 4.
Visifa vya wenye uhai 4:
Wako karibu na Mungu kuliko viumbe wote uf.5:6
Wana macho mwili mzima=wanaroho wa Mungu kwa kipimo kikubwa, ili kuona na kutambua mashauri ya Mungu
Wanawakilisha pande/ncha 4 za ulimwengu
Wana mabawa mengi=kasi kutimiza matakwa ya Mungu
Mihuri Saba: Msingi wake
Simba: ujasiri,nguvu, uthabiti
Ng’ombe: unyenyekevu, kujishusha uvumilivu, nguvu
Mwanadamu: akili, utambuzi, hekima, uelewa wa kiroho,
Tai: kuona kwa wepesi na wepesi wa kuenda
The four living creatures in Ezekiel guided wheels within wheels. All that imagery reveals that “the complicated play of human events is under divine control. Amidst the strife and tumult of nations, he that sitteth above the cherubim still guides the affairs of the earth.” –Education, pp. 173, 177-178.”
Mihuri Saba: Msingi wake
Taifa/Kanisa baada ya miaka 70 ya utumwa, ezekieli anaonyeshwa sura mbili; mwanasimba na binadamu (Yuda na Reuben) ez. 41:17-19
Katika ufunuo 7 makabila ya efraim na dani (ng’ombe na tai) hayapo kati ya wale 144,000 walitiwa muhuri wa Mungu.
Wameenda wapi?=wamepotea!!
Hapa hekalu la Ezekieli linawakilisha kanisa la Mungu wakati ufalme wake utakaposimikwa
E. G. White warned God’s people that “the fifth chapter of Revelation needs to be closely studied. It is of great importance to those who shall act [future] a part in the work of God for the last days.” – Testimonies, vol. 9, p. 267 (written 1904-1909)
Mihuri 7
Mihuri 7 inahusu uzoefu wa watu wa Mungu.
Mihuri 7 (pia Tarumbeta 7), imejengwa katika makundi 3:
Mihuri (4) 1-4
Mihuri (2) 5-6
Mhuri (1) 7
Mihuri 7  inaamriwa na Yesu/mbingu
Mihuri 7 inatukia Duniani siyo mbinguni
MIHURI 7
Mihuri 7 imeandikwa katika mlolongo (sequence) 1-7 (makanisa 7 hayakupangwa hivyo)
Gombo linawezwa kusomwa tu pale muhuri wa 7 unapofunguliwa.=katika muhuri wa 7 ndiyo watu wanaweza kuuelewa ujumbe ndani ya gombo!
Yesu ndiye anayefungua Mihuri (akitawala muda/timing ya muhuri=matuki), lakini ni wenye uhai 4 wanaowaita muita Yohana kuja kuona
Muhuri 1
Farasi mweupe; uf 6:1
Rangi nyeupe
Usafi zab.51:7
Haki kamilifu ya Kristo uf 7:14, 19:8
Ushindi isa1:18
Utakatifu  uf 7:13
Mawe meupe huwakilisha tabia takatifu itolewayo bure uf 2:19
Farasi
Watu, esp. watu wa Mungu Wimb. 1:9, isa 63:13, zek 10:3, Joel 2:1-4*
Muhuri wa 1 unahusiana na mwenye uhai wa 1
MUHURI WA 1
Muhuri ulifunguliwa wakati mwanakondoo akiwa anatoka damu (amechinjwa)=Wakili mkuu wa mwanadamu alikuwa bado anafanya upatanisho kwa ajili ya mwanadamu
Uf 6:1 anasikia sauti ya ngurumo: sauti ya ngurumo inapolia huwakilishwa kwamba hukumu imekwisha fanywa. Yoh 12:29, uf 4:5, 10:3,4
Mpanda farasi:Uf 19:11-13, Yesu anaonekana kama mpanda farasi, “Mwaminifu wa Kweli”
Taji=ishara ya ushindi
Uta (upinde)=ni ishara ya vita n.k.
Muhuri wa 2
Farasi mwekundu: Uf 6:3
Mwenye uhai 2: anawakilisha efraim=ndama (Hos.10:11, Kumb. 33:13-17)
Efraimu walimuasi Mungu, hajajumuishwa katika 144,000. (Hos. 4:17)
Efraimu waliamua kuwa waabudusanamu na jua waliungana na makabila ya kaskazini wakamwasi Mungu.
Wakati israeli walipojitenga na Yuda, aliyeongoza mapinduzi ni Jeroboamu wa kabila ya Efraimu 1 waf. 12:28-13:10
MUHURI WA 2
Jeroboamu alinzisha ufalme wa ibada ya sanamu wa kuabudu Ndama (2), wakati wa siku ya upatanisho (day of atonement)
Efraimu huwakilisha ibada ya sanamu, uasi na uasi wa kiroho
Efraimu aliongoza makabila 10 ya kaskazini katika uasi, kama vile babeli uf 17, anavyoongoza mnyama mwenye pembe 10.
Efraimu anajiunga na ufalme wa kaskazini, kaskazini ikiwakilisha babel-upapa pia.
MUHURI 2
Farasi mwekundu Uf 6:4
Huwakilisha vita ya kiroho
Kama joka jekundu la uf 12 na mnyama mwekundu wa uf 17
Nyekundu huwakilisha moto na damu=mateso na kifo
Yote ni hasi
Farasi huyu anakuja kama jibu kwa farasi wa kwanza mweupe. Akiua na kutesa Ikiwakilishwa na upanga mkubwa aliopewa anayempanda
MUHURI WA 3
Mwenye uhai wa 3 Uf 6:5 ni kama mwanadamu uf 4:7 akiwakilisha tabia za Reuben na watu wenye tabia hizo.
Makabila mawili Yuda na Reuben ndiyo yatakayokuwa na ushindi hatimaye
Reuben ni kabila 2 katika 144,000 baada ya lile la Yuda.
Ndiye aliyeongoza kutokea kusini Hes 2:10-11
Farasi mweusi: uf 6:5
Watu wanaohusishwa na farasi huyu walipitia tabia ya Reuben uzinzi (wa kiroho)
MUHURI WA 3
Nyeusi ni kinyume cha nyeupe.
Kama nyeupe huwakilisha usafi, utakatifu n.k basi nyeusi huwakilisha dhambi, kifo na giza
Farasi mweusi anazuia ukweli=nuru kutawala, farasi mweusi watu wanaangamia kwa giza=njaa ya neno  na haki
Watu wanaodai kuwa watu wa Mungu lakini wakiwa gizani (watu walio babeli=wakingoja mwito mkuu, token kwake…)
Anaye mpandA ana Mizani Uf 6:5
Ni nani?=Yesu akihukumu
MUHURI WA 3
Mizani?=hukumu Ay. 31:6
Anayempanda ni Yesu kama katika farasi wa 1
Ngano na shairi:
Vilitumika kutengenezea mikate=neno la Mungu
“…Kibaba cha ngano kwa nusu rupia, na vibaba vitatu vya shayiri kwa nusu rupia….”
Msisitizo uko kwenye gharama na siyo bidhaa=bei hiyo ni kubwa sana!! Kwa bidhaa hizo
Ujumbe=neno lilikuwa adimu sana, haikuwa rahisi kupata neno kwa sababu ya giza la kiroho na kufichwa kwa neno
Kulikuwa na njaa ya kiroho
MUHURI WA 3
“…wala usiyadhuru mafuta wala divai…”
Kwa nini mafuta na divai yatakiwa kulindwa?
In view of the infinite price paid for man’s redemption, how dare any professing the name of Christ treat with indifference one of His little ones? How carefully should brethren and sisters in the church guard every word and action lest they hurt the oil and the wine!” – Testimonies, vol. 5, p. 614
“Let everyone who loves God consider that now while it is day is the time to work, not among the sheep already in the fold, but to go out in search of the lost and perishing ones…, but without delay secure oil in their vessels with their lamps. That oil is the righteousness of Christ. It represents character, and character is not transferable. No man can secure it for another. Each must obtain for himself a character purified from every stain of sin.” – Testimony to Ministers, pp. 233-234
MUHURI WA 3
Mafuta huwakilisha Roho mtakatifu, akidhihirika kupitia tabia zilizobadilishwa ndani ya watu wa Mungu. Luk 4:18, isa 10:27, Mat 25:1-13
Watu wa farasi mweusi wako gizani lakini wamekuwa wakimtii Roho wa Mungu
Sauti katikati ya wenye uhai-usiyadhuru…. Ni ya Yesu.
Divai?
Huwakilisha damu ya Yesu
Huponya majeraha (Luk 10:34), Jer 31:8
MUHURI WA 4
Mwenye uhai wa nne Uf 6:7, ni uwakilishi wa kabila la dani (Kumb. 14:12, Mw. 49:16-17=ni nyoka aumae miguu ya farasi)
Katika ishara nyoka alibadilika akawa tai
Tai ni ishara ya kujikweza, kiburi, Ob. 4
Tai ni ushihirisho wa ufalme wa shetani, Isa 14.
Kaskazini=1. kilipokiti cha enzi cha Mungu  (zab 48:2) 2.utukufu wa Mungu ulipotokea (ez 1:4) 3. pia shetani, wapinga kristo na wanapotokea watesa watakatifu ni kaskazini (isa 14:13-14, yer. 6:22-23, dan 11, 2the 2:4)
MUHURI WA 4
Farasi wa kijivukijivu (njano-kijani)
Farasi(watu) huyu anapewa nguvu kuua (mwanzo hawakupewa nguvu kuua)
Mpanda farasi ni shetani. Akiongoza kanisa la Mungu?
Lengo ni kuua siyo kutesa watu wa Mungu
Maneno kuzimu na mauti vikafuata yanathibitisha hilo
“…Nao wakapewa mamlaka juu ya robo ya nchi…”
1/3 huwakilisha waovu (malaika/watu)
¼ huwakilisha watakatifu
Mihuri 1, 2, 3 & 4.
Uf.6:1-8; mihuri 4  ya mwanzo.
Mihuri 4 hudhihirisha uzoefu wa watu wa Mungu katika vipindi 4 tofauti katika historia ya Ukristo
Ufunguo wa kuielewa mihuri 4 ya mwanzo
Wal. 26:1-
1-Upanga, 2-njaa, 3-magonjwa, 4-wanyama wakali.
Ni matokeo ya kutokutii ambayo yapo pia katika mihuri 4 ya mwanzo
Mihuri 1, 2, 3 & 4.
Kwa nini Mungu aliwakumbusha watu wake kuhusu hukumu 4?
Ez. 14:21-24 hukumu/mapigo/majanga [dooms]
Yer. 15:3-4 aina za hukumu/mapigo/majanga
Kwa sababu walikuwa sio-watiifu
Mihuri 1, 2, 3 & 4.
Jinsi yanavyotokea:
1.Upanga/vita
2. Njaa
3. Magonjwa
4. wanyama wakali {Kifo}
Hukumu za Mungu ni kwa watu wasio waaminifu
Isa. 10:5-6, Mungu alitumia mataifa jirani kuwaadhibu-Israeli
Mihuri 5&6
Mhuri wa 5: (Uf. 6:9-11)  Ni kipindi cha kusubiri,
Swali kubwa la watakatifu: Hata lini Bwana?
Uf. 6:9-11, Zak. 1:12-14, Dan. 12:6-7
Hata lini mateso? = nyakati 3 ½
Ni kipindi cha zama za giza 538-1798 b.k.
Roho (nefesh=nafsi) za waliouwawa= watu wa Mungu walioteswa na kuuwawa
Chini ya madhabahu (ya sadaka ya kuteketezwa)
Chini ya madhabahu hii, ilimwagwa damu, ikiakisi kulia kwa damu ya Abeli
Mihuri 5&6
Uf.6:10b“hao wakaao juu ya nchi” ni msemo unaotumika mara kwa mara katika ufunuo kuwakilisha waovu (Uf. 11:10,13)
Wanaambiwa kusubiri kidogo
Wanapewa mavazi meupe
Hadi watakapokamilishwa (swala siyo idadi), idadi /hesabu ni neno nililoingizwa na watafsiri
Mihuri 5&6
Mhuri wa 6: (Uf. 6:12-17), zama za kati.
Jibu la Mungu kwa maombi ya watakatifu katika muhuri wa 5.
Muhuri wa sita unatuleta mpaka ujio wa Yesu mawinguni: Matukio/ishara muhimu:
1755-tetemeko la ardhi
1780-jua kutiwa giza
1780-mwezi kutiwa giza
1833-kuanguka kwa nyota
Je vitu hivi ni ishara (symbols)?
Mihuri 5&6
¢Vitu hivi ni halisi. (Mat. 24:29-30) Ishara/symbols ziko katika mabano:
Tetemeko
Jua (jesusi kama gunia la singa)
Mwezi (kama damu)
Nyota (kama mtini upukutishavyo maapooza ukitikiswa na upepo mwingi)
***Mat 24:29-30 jua na mwezi vikakataa kutoa nuru/mwanga
***nyota kudondoka/kuanguka
***nguvu za mbinguni kutikisika
¢Sef. 2:11, Isa 2:19, Hos. 10:8, luk. 23:30 kutikiswa kwa Mbingu
Mihuri 5&6&7
Sura ya 7 ni pause/pumziko (interlude) , ni tukio kuu wa utiwaji muhuri watu wa Mungu.
Mhuri wa 7: Uf. 8:(1*)-6
Ukimya umehusishwa na Hukumu ya Mungu, Sef.1:7
Uf 6:16-17 katika muhuri wa 6, waovu waliuliza ni nania awezaye kusimama?, kwa sababu walichanganyikiwa, wakasahau kwamba watakatifu watasimama.
MIHURI SABA
Mungu awabariki!
Tugeuke, tupate Muhuri wa Mungu kwa wakati wake.
0716/0767/0684 236 149

No comments:

Post a Comment